Mwanzo 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi huyo mtumishi akaweka mkono wake chini ya paja la Abrahamu bwana wake na kumwapia kuhusu jambo hilo.+ Yoshua 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nao wale wanaume wakamwambia: “Hatuna hatia kuhusiana na kiapo chako hiki ambacho umetuapisha.+
9 Basi huyo mtumishi akaweka mkono wake chini ya paja la Abrahamu bwana wake na kumwapia kuhusu jambo hilo.+