1 Samweli 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini Hana alikuwa akisema moyoni mwake;+ midomo yake tu ndiyo ilikuwa ikitetemeka, na sauti yake haikusikika. Lakini Eli alimdhania kuwa amelewa.+ Nehemia 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye mfalme akaniambia: “Ni jambo gani hili unalotaka?”+ Mara moja nikasali+ kwa Mungu wa mbinguni.+
13 Lakini Hana alikuwa akisema moyoni mwake;+ midomo yake tu ndiyo ilikuwa ikitetemeka, na sauti yake haikusikika. Lakini Eli alimdhania kuwa amelewa.+
4 Naye mfalme akaniambia: “Ni jambo gani hili unalotaka?”+ Mara moja nikasali+ kwa Mungu wa mbinguni.+