Mwanzo 24:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 na kusema: “Abarikiwe Yehova+ Mungu wa bwana wangu Abrahamu, ambaye hakuacha fadhili zake zenye upendo na kuwa mwenye kutegemeka kumwelekea bwana wangu. Mimi nikiwa njiani, Yehova ameniongoza kwenye nyumba ya ndugu za bwana wangu.”+ Luka 1:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 “Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ kwa sababu ameelekeza uangalifu wake na kufanya ukombozi+ kuelekea watu wake.+
27 na kusema: “Abarikiwe Yehova+ Mungu wa bwana wangu Abrahamu, ambaye hakuacha fadhili zake zenye upendo na kuwa mwenye kutegemeka kumwelekea bwana wangu. Mimi nikiwa njiani, Yehova ameniongoza kwenye nyumba ya ndugu za bwana wangu.”+
68 “Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ kwa sababu ameelekeza uangalifu wake na kufanya ukombozi+ kuelekea watu wake.+