Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 mnapaswa kujua hakika kwamba Yehova Mungu wenu hataendelea kuyanyang’anya mataifa haya miliki yao kwa ajili yenu;+ nayo yatakuwa kwenu kama mtego na mnaso na kama kiboko mbavuni mwenu+ na kama miiba machoni penu mpaka mtakapoangamia na kutoka katika nchi hii nzuri ambayo Yehova Mungu wenu amewapa ninyi.+

  • Waamuzi 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na ikawa kwamba Israeli walipopata nguvu,+ ndipo wakawatia Wakanaani katika kazi ya kulazimishwa,+ wala hawakuwafukuza kabisa.+

  • Waamuzi 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi, mimi kwa upande wangu nimesema, ‘Sitawafukuza kutoka mbele yenu, nao watakuwa mitego kwenu,+ na miungu yao itakuwa mtego kwenu.’”+

  • Zaburi 106:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Nao waliendelea kutumikia sanamu zao,+

      Nazo zikawa mtego kwao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki