Kutoka 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mkono wowote usimguse, kwa maana lazima atapigwa kwa mawe au kwa mshale. Iwe ni mnyama au mwanadamu, hataishi.’+ Pembe ya kondoo+ itakapopigwa wao wenyewe wanaweza kuja mpaka kwenye mlima.” Waebrania 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana hawakuweza kuivumilia amri hii: “Na mnyama akiugusa mlima, lazima apigwe kwa mawe.”+
13 Mkono wowote usimguse, kwa maana lazima atapigwa kwa mawe au kwa mshale. Iwe ni mnyama au mwanadamu, hataishi.’+ Pembe ya kondoo+ itakapopigwa wao wenyewe wanaweza kuja mpaka kwenye mlima.”