Waefeso 5:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 kwa maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake kwa vyovyote; bali huulisha na kuutunza+ kwa upendo, kama vile Kristo pia anavyolitendea kutaniko, 1 Timotheo 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakika ikiwa yeyote hawaandalii mahitaji wale walio wake mwenyewe,+ na hasa wale walio washiriki wa nyumba yake,+ ameikana+ imani+ naye ni mbaya kuliko mtu asiye na imani.
29 kwa maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake kwa vyovyote; bali huulisha na kuutunza+ kwa upendo, kama vile Kristo pia anavyolitendea kutaniko,
8 Hakika ikiwa yeyote hawaandalii mahitaji wale walio wake mwenyewe,+ na hasa wale walio washiriki wa nyumba yake,+ ameikana+ imani+ naye ni mbaya kuliko mtu asiye na imani.