Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ikiwa anaitoa ili kuonyesha shukrani,+ basi ataitoa pamoja na dhabihu ya shukrani ya keki za mviringo zisizo na chachu ambazo zimetiwa mafuta na mikate myembamba isiyo na chachu iliyopakwa mafuta+ na unga laini uliochanganywa vizuri ukiwa keki za mviringo zilizotiwa mafuta.

  • Zaburi 107:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na watoe dhabihu za kutoa shukrani+

      Na kutangaza kazi zake kwa vigelegele vya shangwe.+

  • Zaburi 116:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nitakutolea wewe dhabihu ya kutoa shukrani,+

      Nami nitaliitia jina la Yehova.+

  • Amosi 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Fukizeni dhabihu ya shukrani kutoka kwa kile kilichotiwa chachu,+ na mtangaze matoleo ya hiari;+ litangazeni, kwa maana hivyo ndivyo mmependa, enyi wana wa Israeli,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki