12 Ikiwa anaitoa ili kuonyesha shukrani,+ basi ataitoa pamoja na dhabihu ya shukrani ya keki za mviringo zisizo na chachu ambazo zimetiwa mafuta na mikate myembamba isiyo na chachu iliyopakwa mafuta+ na unga laini uliochanganywa vizuri ukiwa keki za mviringo zilizotiwa mafuta.
5 Fukizeni dhabihu ya shukrani kutoka kwa kile kilichotiwa chachu,+ na mtangaze matoleo ya hiari;+ litangazeni, kwa maana hivyo ndivyo mmependa, enyi wana wa Israeli,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.