Mambo ya Walawi 19:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kwa hiyo mtazishika sheria zangu zote na maamuzi yangu yote ya hukumu, nanyi mtazifanya.+ Mimi ni Yehova.’” Hesabu 15:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kusudi ni kwamba mpate kukumbuka na kushika amri zangu zote na kuwa watakatifu kwa Mungu wenu.+ Kumbukumbu la Torati 4:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nawe lazima uyashike masharti yake+ na amri zake ninazokuamuru leo, ili mambo yakuendee vema wewe+ na wana wako baada yako, na ili urefushe siku zako juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa,+ sikuzote.”
37 Kwa hiyo mtazishika sheria zangu zote na maamuzi yangu yote ya hukumu, nanyi mtazifanya.+ Mimi ni Yehova.’”
40 Nawe lazima uyashike masharti yake+ na amri zake ninazokuamuru leo, ili mambo yakuendee vema wewe+ na wana wako baada yako, na ili urefushe siku zako juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa,+ sikuzote.”