Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nao Walawi+ nikawaambia kwamba wawe wakijitakasa+ kwa ukawaida na kuingia ndani, wakiyalinda malango+ ili kutakasa+ siku ya sabato. Ee Mungu wangu, likumbuke+ jambo hili pia kwa ajili yangu, nawe unihurumie kulingana na wingi wa fadhili zako zenye upendo.+

  • Isaya 56:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwenye furaha ni yule mwanadamu anayeweza kufa ambaye hufanya jambo hili,+ na mwana wa binadamu anayelishika,+ anayeishika sabato ili asiitie unajisi,+ na kuuzuia mkono wake ili asitende ubaya wa aina yoyote.+

  • Isaya 58:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Ikiwa kwa ajili ya sabato utarudisha nyuma mguu wako kuhusiana na kuyafanya mapendezi yako mwenyewe katika siku yangu takatifu,+ na kwa kweli uiite sabato kuwa ni furaha tele, siku takatifu ya Yehova, inayotukuzwa,+ nawe kwa kweli uitukuze badala ya kufanya njia zako mwenyewe, badala ya kutafuta kinachokupendeza na kusema neno;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki