24 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Katika mwezi wa saba,+ siku ya kwanza ya mwezi huo, mtakuwa na pumziko kamili, ukumbusho kwa kupiga tarumbeta,+ mkusanyiko mtakatifu.+
12 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba+ mtafanya mkusanyiko mtakatifu.+ Hamtafanya kazi ngumu ya aina yoyote,+ nanyi mtamfanyia Yehova sherehe kwa siku saba.+