Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 mimi pia nitawang’oa kutoka katika nchi yangu ambayo nimewapa;+ na nyumba hii ambayo nimeitakasa+ kwa ajili ya jina langu, nitaitupilia mbali kutoka mbele za uso wangu,+ nami nitaifanya kuwa neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu.+

  • Zaburi 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Dunia na vyote vinavyoijaza ni vya Yehova,+

      Nchi yenye kuzaa na wale wanaokaa ndani yake.+

  • Zaburi 85:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 85 Ee Yehova, umependezwa na nchi yako;+

      Umewarudisha wale waliochukuliwa mateka wa Yakobo.+

  • Yoeli 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova atakuwa mwenye bidii kwa ajili ya nchi yake+ naye atawaonea huruma watu wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki