25 “‘Ikiwa ndugu yako atakuwa maskini na alazimike kuuza sehemu ya miliki yake, mkombozi wa jamaa yake ya karibu atakuja pia na kununua na kurudisha kile ambacho ndugu yake aliuza.+
7 “Ikiwa mmoja wa ndugu zako atakuwa maskini kati yako katika moja la majiji yako, katika nchi yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa, usiufanye moyo wako kuwa mgumu wala kuufunga mkono wako kumwelekea ndugu yako aliye maskini.+
7 Kwa maana mna maskini+ pamoja nanyi sikuzote, na wakati wowote ule mnapotaka mnaweza kuwafanyia mema sikuzote, lakini mimi hamtakuwa pamoja nami sikuzote.+