Kutoka 12:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Na jamii kubwa iliyochangamana+ pia ikaenda pamoja nao, na makundi na mifugo vilevile, kundi la wanyama wengi sana. Yoshua 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi wakuu wakawaambia hivi: “Waacheni waishi, na wawe wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko lote,+ kama hao wakuu walivyowaahidi.”+
38 Na jamii kubwa iliyochangamana+ pia ikaenda pamoja nao, na makundi na mifugo vilevile, kundi la wanyama wengi sana.
21 Basi wakuu wakawaambia hivi: “Waacheni waishi, na wawe wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko lote,+ kama hao wakuu walivyowaahidi.”+