10 Nanyi mtautakasa mwaka wa 50 na kutangaza uhuru katika nchi kwa wakaaji wake wote.+ Itakuwa Yubile+ kwenu, nanyi mtarudi kila mmoja kwenye miliki yake nanyi mtarudi kila mmoja kwa familia yake.+
16 Kulingana na hesabu kubwa ya miaka ataongeza thamani yake ya ununuzi,+ na kulingana na uchache wa miaka atapunguza thamani yake ya ununuzi, kwa sababu hesabu ya mazao ndiyo anayokuuzia.