21 Tazama, Yehova Mungu wako ameitia nchi hiyo mikononi mwako.+ Panda, ukaimiliki, kama vile Yehova Mungu wa mababu zako alivyokuambia.+ Usiogope, wala usiingiwe na hofu.’+
9 Je, mimi sikukuamuru wewe?+ Uwe hodari na mwenye nguvu. Usitetemeke wala usiwe na hofu,+ kwa maana Yehova Mungu wako yupo pamoja nawe kila mahali unapoenda.”+