6 “Sema na wana wa Israeli, ‘Kwa habari ya mwanamume au mwanamke, ikiwa watatenda yoyote kati ya dhambi za wanadamu kwa kufanya tendo la kumkosea uaminifu Yehova, nafsi hiyo pia imekuwa na hatia.+
29 Kama ilivyo kwa mwenyeji kati ya wana wa Israeli na mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yao, kutakuwa na sheria moja kwenu juu ya kufanya jambo bila kukusudia.+