Kumbukumbu la Torati 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 na hasira ya Yehova iwake juu yenu, naye afunge mbingu hivi kwamba mvua yoyote isitokee+ nayo nchi isitoe mazao yake nanyi mwangamie haraka kutoka katika nchi nzuri ambayo Yehova anawapa ninyi.+ Kumbukumbu la Torati 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Utalaaniwa uzao wa tumbo lako+ na mazao ya udongo wako,+ mtoto wa ng’ombe wako na uzao wa kundi lako.+ Hagai 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo mbingu zilizuilia umande wake juu yenu, nayo dunia ikazuilia mazao yake.+
17 na hasira ya Yehova iwake juu yenu, naye afunge mbingu hivi kwamba mvua yoyote isitokee+ nayo nchi isitoe mazao yake nanyi mwangamie haraka kutoka katika nchi nzuri ambayo Yehova anawapa ninyi.+
18 “Utalaaniwa uzao wa tumbo lako+ na mazao ya udongo wako,+ mtoto wa ng’ombe wako na uzao wa kundi lako.+