Isaya 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Jiosheni;+ jisafisheni;+ ondoeni ubaya wa matendo yenu mbele za macho yangu;+ acheni kutenda mabaya.+ Yeremia 2:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nimewapiga wana wenu bila matokeo.+ Hawakushika nidhamu yoyote.+ Upanga wenu umewala manabii wenu, kama simba anayeangamiza.+ Yeremia 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, je, macho yako hayaangalii uaminifu?+ Umewapiga,+ lakini hawakuwa wagonjwa.+ Uliwaangamiza.+ Walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba.+ Walikataa kurudi.+ Waebrania 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+
16 Jiosheni;+ jisafisheni;+ ondoeni ubaya wa matendo yenu mbele za macho yangu;+ acheni kutenda mabaya.+
30 Nimewapiga wana wenu bila matokeo.+ Hawakushika nidhamu yoyote.+ Upanga wenu umewala manabii wenu, kama simba anayeangamiza.+
3 Ee Yehova, je, macho yako hayaangalii uaminifu?+ Umewapiga,+ lakini hawakuwa wagonjwa.+ Uliwaangamiza.+ Walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba.+ Walikataa kurudi.+
6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+