Isaya 59:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Atatoa thawabu kulingana na matendo,+ ghadhabu kwa adui zake, atawatendea adui zake kama vile inavyostahili.+ Atavilipa visiwa tendo linalostahili.+ Yeremia 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami nitapigana nanyi+ kwa mkono ulionyooshwa na kwa mkono wenye nguvu na kwa hasira na kwa ghadhabu na kwa ukali mkubwa.+
18 Atatoa thawabu kulingana na matendo,+ ghadhabu kwa adui zake, atawatendea adui zake kama vile inavyostahili.+ Atavilipa visiwa tendo linalostahili.+
5 Nami nitapigana nanyi+ kwa mkono ulionyooshwa na kwa mkono wenye nguvu na kwa hasira na kwa ghadhabu na kwa ukali mkubwa.+