Kumbukumbu la Torati 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana Yehova Mungu wako ni Mungu mwenye rehema.+ Hatakutupa wala kukuharibu wala kulisahau agano+ la mababu zako ambalo aliwaapia. 2 Wafalme 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Hata hivyo, Yehova akawapa kibali+ na kuwaonea rehema+ na kuwageukia kwa ajili ya agano+ lake na Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo;+ naye hakutaka kuwaangamiza,+ wala hakuwatupilia mbali kutoka mbele za uso wake mpaka sasa. Nehemia 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na katika rehema zako nyingi hukuwaangamiza+ wala kuwaacha;+ kwa maana wewe ni Mungu mwenye neema+ na rehema.+ Waroma 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mungu hakuwakataa watu wake, aliowatambua kwanza.+ Je, hamjui linavyosema Andiko kumhusu Eliya, anapomwomba Mungu dhidi ya Israeli?+
31 Kwa maana Yehova Mungu wako ni Mungu mwenye rehema.+ Hatakutupa wala kukuharibu wala kulisahau agano+ la mababu zako ambalo aliwaapia.
23 Hata hivyo, Yehova akawapa kibali+ na kuwaonea rehema+ na kuwageukia kwa ajili ya agano+ lake na Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo;+ naye hakutaka kuwaangamiza,+ wala hakuwatupilia mbali kutoka mbele za uso wake mpaka sasa.
31 Na katika rehema zako nyingi hukuwaangamiza+ wala kuwaacha;+ kwa maana wewe ni Mungu mwenye neema+ na rehema.+
2 Mungu hakuwakataa watu wake, aliowatambua kwanza.+ Je, hamjui linavyosema Andiko kumhusu Eliya, anapomwomba Mungu dhidi ya Israeli?+