Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nawe utamfukiza kondoo huyo mzima juu ya madhabahu. Hilo ni toleo la kuteketezwa+ kwa Yehova, harufu yenye kutuliza.+ Ni toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.

  • Mambo ya Walawi 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na matumbo+ yake na miguu yake itaoshwa kwa maji; naye kuhani atafukiza vyote hivyo kwenye madhabahu viwe toleo la kuteketezwa, toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+

  • Mambo ya Walawi 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao wana wa Haruni+ wataifukiza+ kwenye madhabahu, juu ya toleo la kuteketezwa lililo juu ya kuni+ zilizo katika moto, kuwa toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza+ Yehova.

  • Mambo ya Walawi 8:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye akaosha matumbo na miguu kwa maji, na Musa akamfukiza kondoo mzima juu ya madhabahu.+ Lilikuwa toleo la kuteketezwa kwa ajili ya harufu ya kutuliza.+ Lilikuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.

  • Ezra 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ili waendelee+ kuleta matoleo ya kutuliza+ kwa Mungu wa mbinguni na kusali kwa ajili ya uhai wa mfalme na wanawe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki