7 Alikazwa sana,+ naye alijiachilia ateswe;+ ingawa hivyo hakufungua kinywa chake. Alikuwa akiletwa kama kondoo machinjioni;+ na kama kondoo-jike ambaye amekuwa bubu mbele ya wakataji-manyoya wake, yeye pia hakufungua kinywa chake.+
14 je, si zaidi damu+ ya Kristo, ambaye kupitia roho inayodumu milele alijitoa+ mwenyewe bila dosari kwa Mungu, itazisafisha+ dhamiri zetu kutoka katika matendo yaliyokufa+ ili tutoe utumishi mtakatifu+ kwa Mungu aliye hai?