Yakobo 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ulimi, hakuna hata mmoja wa wanadamu anayeweza kuufuga. Huo ni kitu kitundu chenye kudhuru, umejaa sumu yenye kuua.+ 1 Petro 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana, “yeye ambaye anapenda uzima na kuona siku zilizo njema,+ na auzuie ulimi+ wake kutokana na yaliyo mabaya na midomo yake isiseme udanganyifu,+
8 Lakini ulimi, hakuna hata mmoja wa wanadamu anayeweza kuufuga. Huo ni kitu kitundu chenye kudhuru, umejaa sumu yenye kuua.+
10 Kwa maana, “yeye ambaye anapenda uzima na kuona siku zilizo njema,+ na auzuie ulimi+ wake kutokana na yaliyo mabaya na midomo yake isiseme udanganyifu,+