Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 27:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Nawe utafanya ua+ wa maskani. Upande kuelekea Negebu, kuelekea kusini, ua utakuwa na mapazia ya kitani bora kilichosokotwa,+ urefu wa upande mmoja ukiwa mikono mia moja.

  • Kutoka 38:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye akafanya ule ua.+ Upande unaokabili Negebu, kuelekea kusini, mapazia ya ua yalikuwa ya kitani bora kilichosokotwa, kwa mikono mia moja.+

  • Kutoka 40:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Mwishowe akaweka ua+ kuizunguka pande zote ile maskani na ile madhabahu na kuweka kisitiri cha lango la ua.+

      Basi Musa akaimaliza kazi.

  • Ezekieli 42:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akaniambia: “Vyumba vya kulia chakula vya kaskazini na vyumba vya kulia chakula vya kusini ambavyo viko mbele ya eneo lililotengwa,+ hivyo ndivyo vyumba vya kulia chakula vilivyo vitakatifu, ambamo makuhani wanaomkaribia+ Yehova hula vitu vitakatifu zaidi.+ Humo wao huweka vitu vilivyo vitakatifu zaidi na toleo la nafaka na toleo la dhambi na toleo la hatia, kwa sababu mahali hapo ni patakatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki