Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nawe utayachukua mafuta yote+ yanayofunika matumbo,+ na kile kipasho kilicho juu ya ini,+ na zile figo mbili na mafuta yaliyo juu yake, nawe utavifukiza juu ya madhabahu.+

  • Mambo ya Walawi 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na kutoka katika dhabihu ya ushirika atatoa mafuta yake kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.+ Mkia wote wenye mafuta+ ndio atakaoutoa karibu na uti wa mgongo, na mafuta yanayofunika matumbo, ndiyo, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+

  • Mambo ya Walawi 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu, katika makao yenu yote: msile mafuta yoyote wala damu+ yoyote.’”

  • Mambo ya Walawi 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘Na mafuta yote ya ng’ombe huyo wa toleo la dhambi atayaondoa kutoka kwake, mafuta yanayofunika matumbo, ndiyo, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+

  • Mambo ya Walawi 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye akamkata kondoo huyo vipande-vipande,+ naye Musa akakifukiza kichwa na vile vipande na yale mafuta.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki