Mambo ya Walawi 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi kupitia kwao mtajifanya wenyewe msiwe safi. Kila mtu anayegusa mizoga yao atakuwa asiye safi mpaka jioni.+ Hesabu 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na kila chombo+ kilichofunguliwa ambacho hakina kifuniko kilichofunikwa si safi.
24 Basi kupitia kwao mtajifanya wenyewe msiwe safi. Kila mtu anayegusa mizoga yao atakuwa asiye safi mpaka jioni.+