Mambo ya Walawi 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi kupitia kwao mtajifanya wenyewe msiwe safi. Kila mtu anayegusa mizoga yao atakuwa asiye safi mpaka jioni.+ Kumbukumbu la Torati 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Aina hii tu ndiyo ambayo hampaswi kula kati ya wale wanaocheua au wenye ukwato uliopasuka, wenye mwatuko: ngamia+ na sungura+ na wibari,+ kwa sababu hao hucheua lakini hawana ukwato uliopasuka. Hao si safi kwenu.
24 Basi kupitia kwao mtajifanya wenyewe msiwe safi. Kila mtu anayegusa mizoga yao atakuwa asiye safi mpaka jioni.+
7 Aina hii tu ndiyo ambayo hampaswi kula kati ya wale wanaocheua au wenye ukwato uliopasuka, wenye mwatuko: ngamia+ na sungura+ na wibari,+ kwa sababu hao hucheua lakini hawana ukwato uliopasuka. Hao si safi kwenu.