3 Nawe utafanya makopo yake ya kuondolea majivu yake yenye mafuta, na sepetu zake, na mabakuli yake, na nyuma zake, na vyetezo vyake; nawe utavifanya vyombo vyake vyote kwa shaba.+
12 atamtoa ng’ombe mzima mpaka nje ya kambi+ katika mahali safi ambapo yale majivu yenye mafuta+ humwagwa, naye atamteketeza juu ya kuni kwenye moto.+ Mahali ambapo majivu yenye mafuta humwagwa, anapaswa kuteketezwa hapo.
10 Naye kuhani atajivika nguo yake rasmi ya kitani,+ naye atavaa ile suruali+ ya kitani mwilini mwake. Kisha atayachukua yale majivu yenye mafuta+ ya toleo la kuteketezwa ambayo huteketezwa kwa moto kwa ukawaida juu ya madhabahu, naye atayaweka kando ya madhabahu.