5 Baadaye akawatuma vijana kati ya wana wa Israeli nao wakatoa dhabihu za kuteketezwa na kutoa ng’ombe-dume wakiwa dhabihu, kama dhabihu za ushirika+ kwa Yehova.
2 “Sema na wana wa Israeli,+ nawe utawaambia, ‘Ikiwa mtu fulani kati yenu atatoa toleo kwa Yehova kutoka katika wanyama wa kufugwa, mtatoa toleo lenu kutoka katika mifugo na kutoka katika kundi.