23 “Wewe nawe, jichukulie manukato bora zaidi:+ vipimo 500 vya matone ya manemane+ iliyoganda, na mdalasini+ wenye harufu tamu nusu ya kiasi hicho, vipimo 250, na kane+ yenye harufu tamu, vipimo 250,
15 Nawe lazima utawatia mafuta kama vile ulivyomtia mafuta baba yao,+ nao lazima watanitumikia wakiwa makuhani, na kutiwa kwao mafuta lazima kutumike kwao kwa kuendelea kukiwa ukuhani mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyao.”+