2 na mkate usio na chachu na keki za mviringo zisizo na chachu, ambazo zimetiwa mafuta na mkate mwembamba usio na chachu, uliotiwa mafuta.+ Utavifanya kutokana na unga laini wa ngano.
13 Nalo toleo lake lilikuwa sahani moja ya fedha, uzito wake ukiwa shekeli 130, bakuli moja la fedha la shekeli 70 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu,+ vyote viwili vikiwa vimejaa unga laini uliotiwa mafuta kwa ajili ya toleo la nafaka;+