Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye kuhani atavifukiza juu ya madhabahu kama chakula, toleo linalotolewa kwa njia ya moto kuwa harufu ya kutuliza. Mafuta yote ni ya Yehova.+

  • Mambo ya Walawi 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 na zile figo mbili na mafuta yaliyo juu yake, yale yaliyo juu ya viuno. Nacho kipasho kilicho juu ya ini, atakiondoa pamoja na figo.+

  • Mambo ya Walawi 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Naye akafukiza juu ya madhabahu+ mafuta+ na figo na kipasho cha ini kutoka katika lile toleo la dhambi, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.

  • Ezekieli 44:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 mnapowaingiza ndani wageni ambao hawajatahiriwa moyoni na ambao hawajatahiriwa katika mwili,+ ili wawe ndani ya patakatifu pangu na kupatia unajisi, naam, nyumba yangu; mnapotoa mkate+ wangu, mafuta+ na damu,+ huku wakiendelea kuvunja agano langu kwa sababu ya machukizo yenu yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki