Mambo ya Walawi 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “‘Na ikiwa utatoa toleo la nafaka la kitu kilichookwa jikoni, kinapaswa kuwa cha unga laini, keki za mviringo+ zilizotiwa mafuta zisizo na chachu, au mkate mwembamba uliotiwa mafuta+ usio na chachu.+ Mambo ya Walawi 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Hii ndiyo sheria ya toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni, litoeni mbele za Yehova mbele ya madhabahu.
4 “‘Na ikiwa utatoa toleo la nafaka la kitu kilichookwa jikoni, kinapaswa kuwa cha unga laini, keki za mviringo+ zilizotiwa mafuta zisizo na chachu, au mkate mwembamba uliotiwa mafuta+ usio na chachu.+
14 “‘Hii ndiyo sheria ya toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni, litoeni mbele za Yehova mbele ya madhabahu.