10 Kisha ikawa kwamba mara tu baada ya Haruni kusema na kusanyiko zima la wana wa Israeli, wakageuka na kutazama kuelekea nyikani, na, tazama! utukufu wa Yehova ukaonekana katika wingu.+
16 Na utukufu+ wa Yehova ukaendelea kukaa juu ya Mlima Sinai,+ nalo wingu likaendelea kuufunika kwa siku sita. Mwishowe katika siku ya saba akamwita Musa kutoka katikati ya lile wingu.+