Mambo ya Walawi 8:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kama vile ambavyo imefanywa leo, Yehova ameamuru ifanywe hivyo ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.+ Waebrania 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na kwa sababu ya huo ana wajibu wa kutoa matoleo ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe kama vile kwa ajili ya watu.+ Waebrania 7:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yeye hahitaji kila siku,+ kama wale makuhani wakuu wanavyofanya, kutoa dhabihu, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe+ kisha kwa ajili ya zile za watu:+ (kwa maana yeye alifanya hilo mara moja+ kwa wakati wote alipojitoa+ mwenyewe;)
34 Kama vile ambavyo imefanywa leo, Yehova ameamuru ifanywe hivyo ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.+
3 na kwa sababu ya huo ana wajibu wa kutoa matoleo ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe kama vile kwa ajili ya watu.+
27 Yeye hahitaji kila siku,+ kama wale makuhani wakuu wanavyofanya, kutoa dhabihu, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe+ kisha kwa ajili ya zile za watu:+ (kwa maana yeye alifanya hilo mara moja+ kwa wakati wote alipojitoa+ mwenyewe;)