Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hamtatoa juu yake uvumba haramu+ au toleo la kuteketezwa au toleo la nafaka; wala hamtamimina toleo la kinywaji juu yake.

  • Mambo ya Walawi 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Usinywe divai wala kileo,+ wewe na wanao pamoja nawe, mnapoingia ndani ya hema la mkutano, msije mkafa. Hiyo ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu,

  • Mambo ya Walawi 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na Yehova akamwambia Musa: “Sema na Haruni ndugu yako, asiwe akija nyakati zote katika mahali patakatifu+ ndani ya pazia,+ mbele ya kifuniko kilicho juu ya Sanduku, asije akafa;+ kwa sababu nitaonekana katika wingu+ juu ya kifuniko+ hicho.

  • Isaya 28:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na hawa pia—kwa sababu ya divai wamepotea na kwa sababu ya kileo wametanga-tanga. Kuhani na nabii+—wamepotea kwa sababu ya kileo, wamevurugika kutokana na divai, wametanga-tanga+ kutokana na kileo; wamepotea katika kuona kwao, wameyumba-yumba kuhusu uamuzi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki