Kumbukumbu la Torati 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hii ndiyo aina ya wanyama mnaoweza kula:+ ng’ombe, kondoo na mbuzi, Ezekieli 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama! Nafsi yangu haijatiwa unajisi;+ Sijala mnyama ambaye tayari amekufa wala mnyama aliyeraruliwa tangu ujana wangu,+ mpaka sasa, na nyama chafu haijaingia kinywani mwangu.”+
14 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama! Nafsi yangu haijatiwa unajisi;+ Sijala mnyama ambaye tayari amekufa wala mnyama aliyeraruliwa tangu ujana wangu,+ mpaka sasa, na nyama chafu haijaingia kinywani mwangu.”+