Zaburi 104:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Milima mirefu+ ni ya mbuzi wa milimani;+Miamba ni kimbilio la wibari.+ Methali 30:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 wibari+ ni kikundi cha watu wasio na nguvu, hata hivyo wao hujenga nyumba yao kwenye mwamba;+