Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nenda kwa watu, ukawatakase leo na kesho, nao wafue nguo zao za kujitanda.+

  • Mambo ya Walawi 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Na yule anayejitakasa atayafua mavazi+ yake na kunyoa nywele zake zote na kuoga+ katika maji naye atakuwa safi, kisha baadaye ataingia kambini. Naye atakaa nje ya hema lake kwa siku saba.+

  • Mambo ya Walawi 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na mtu ambaye atagusa kitanda chake atayafua mavazi yake, naye ataoga katika maji na kuwa asiye safi mpaka jioni.+

  • Hesabu 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na yule anayekusanya majivu ya yule ng’ombe atayafua mavazi yake na kuwa asiye safi mpaka jioni.+

      “‘Nayo itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa wana wa Israeli na mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki