Kutoka 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nenda kwa watu, ukawatakase leo na kesho, nao wafue nguo zao za kujitanda.+ Mambo ya Walawi 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Na yule anayejitakasa atayafua mavazi+ yake na kunyoa nywele zake zote na kuoga+ katika maji naye atakuwa safi, kisha baadaye ataingia kambini. Naye atakaa nje ya hema lake kwa siku saba.+ Mambo ya Walawi 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na mtu ambaye atagusa kitanda chake atayafua mavazi yake, naye ataoga katika maji na kuwa asiye safi mpaka jioni.+ Hesabu 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na yule anayekusanya majivu ya yule ng’ombe atayafua mavazi yake na kuwa asiye safi mpaka jioni.+ “‘Nayo itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa wana wa Israeli na mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yao.+
10 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nenda kwa watu, ukawatakase leo na kesho, nao wafue nguo zao za kujitanda.+
8 “Na yule anayejitakasa atayafua mavazi+ yake na kunyoa nywele zake zote na kuoga+ katika maji naye atakuwa safi, kisha baadaye ataingia kambini. Naye atakaa nje ya hema lake kwa siku saba.+
5 Na mtu ambaye atagusa kitanda chake atayafua mavazi yake, naye ataoga katika maji na kuwa asiye safi mpaka jioni.+
10 Na yule anayekusanya majivu ya yule ng’ombe atayafua mavazi yake na kuwa asiye safi mpaka jioni.+ “‘Nayo itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa wana wa Israeli na mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yao.+