Mambo ya Walawi 22:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 wala mtu atakayegusa kitu chochote kinachozaana kwa wingi ambacho si safi kwake+ au atakayemgusa mtu asiye safi kwake kuhusiana na uchafu wake wowote.+ Kumbukumbu la Torati 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na kila kiumbe kinachozaana kwa wingi chenye mabawa si safi kwenu.+ Havipaswi kuliwa.
5 wala mtu atakayegusa kitu chochote kinachozaana kwa wingi ambacho si safi kwake+ au atakayemgusa mtu asiye safi kwake kuhusiana na uchafu wake wowote.+