Mambo ya Walawi 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi kupitia kwao mtajifanya wenyewe msiwe safi. Kila mtu anayegusa mizoga yao atakuwa asiye safi mpaka jioni.+ Hesabu 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yeyote atakayegusa maiti ya nafsi+ yoyote ya binadamu atakuwa asiye safi siku saba.+ Hesabu 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na kila mtu ambaye huko shambani atagusa mtu aliyeuawa kwa upanga+ au maiti au mfupa+ wa mtu au kaburi atakuwa asiye safi siku saba.
24 Basi kupitia kwao mtajifanya wenyewe msiwe safi. Kila mtu anayegusa mizoga yao atakuwa asiye safi mpaka jioni.+
16 Na kila mtu ambaye huko shambani atagusa mtu aliyeuawa kwa upanga+ au maiti au mfupa+ wa mtu au kaburi atakuwa asiye safi siku saba.