Mambo ya Walawi 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye ataweka mkono wake juu ya kichwa cha toleo hilo la kuteketezwa, nalo litakubaliwa+ kwa neema ili afanye upatanisho kwa ajili yake.+ Mambo ya Walawi 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “‘Na ikiwa toleo lake linatoka katika kundi,+ kutoka kati ya wana-kondoo dume au mbuzi, wa kiume,+ asiye na kasoro, ndiye atakayemtoa kuwa toleo la kuteketezwa.+
4 Naye ataweka mkono wake juu ya kichwa cha toleo hilo la kuteketezwa, nalo litakubaliwa+ kwa neema ili afanye upatanisho kwa ajili yake.+
10 “‘Na ikiwa toleo lake linatoka katika kundi,+ kutoka kati ya wana-kondoo dume au mbuzi, wa kiume,+ asiye na kasoro, ndiye atakayemtoa kuwa toleo la kuteketezwa.+