Mambo ya Walawi 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini doa likibaki mahali pake, halijaenea, ni jipu lenye kuwasha;+ naye kuhani atamtangaza kuwa safi.+ Marko 1:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Na mara moja ule ukoma ukamtoka, naye akawa safi.+ Luka 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo, akaunyoosha mkono wake, akamgusa, na kusema: “Ninataka. Takasika.” Na mara moja ule ukoma ukamtoka.+
23 Lakini doa likibaki mahali pake, halijaenea, ni jipu lenye kuwasha;+ naye kuhani atamtangaza kuwa safi.+
13 Kwa hiyo, akaunyoosha mkono wake, akamgusa, na kusema: “Ninataka. Takasika.” Na mara moja ule ukoma ukamtoka.+