Ezekieli 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ugua pasipo maneno. Usiwaombolezee hata kidogo waliokufa.+ Jifunge kitambaa chako cha kichwani,+ na uvae viatu vyako miguuni+ pako. Nawe usifunike masharubu,+ wala usile mkate wa wanadamu.”+ Mika 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Waonaji+ wataona aibu,+ na waaguzi+ watakata tamaa. Nao wote watafunika masharubu,+ kwa maana hakuna jibu kutoka kwa Mungu.’ ”+
17 Ugua pasipo maneno. Usiwaombolezee hata kidogo waliokufa.+ Jifunge kitambaa chako cha kichwani,+ na uvae viatu vyako miguuni+ pako. Nawe usifunike masharubu,+ wala usile mkate wa wanadamu.”+
7 Waonaji+ wataona aibu,+ na waaguzi+ watakata tamaa. Nao wote watafunika masharubu,+ kwa maana hakuna jibu kutoka kwa Mungu.’ ”+