Mambo ya Walawi 14:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Naye atamuua ndege mmoja katika chombo cha udongo juu ya maji yanayotiririka.+ Mambo ya Walawi 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “‘Sasa, ikiwa yule mwenye mtiririko unaotoka atakuwa safi kutokana na mtiririko wake unaotoka, basi atajihesabia siku saba kwa ajili ya utakaso+ wake, naye atayafua mavazi yake na kuoga mwili wake katika maji yanayotiririka;+ naye atakuwa safi.
13 “‘Sasa, ikiwa yule mwenye mtiririko unaotoka atakuwa safi kutokana na mtiririko wake unaotoka, basi atajihesabia siku saba kwa ajili ya utakaso+ wake, naye atayafua mavazi yake na kuoga mwili wake katika maji yanayotiririka;+ naye atakuwa safi.