Zaburi 72:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Atamsikitikia mtu wa hali ya chini na maskini,+Naye ataziokoa nafsi za maskini.+ Methali 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Anayemdhihaki maskini anamletea shutuma Mtengenezaji+ wake. Anayeshangilia msiba wa mwingine hatakosa adhabu.+ Methali 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mtu tajiri na maskini wamekutana.+ Mtengenezaji wao wote ni Yehova.+ Luka 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye akainua macho yake juu ya wanafunzi wake na kuanza kusema:+ “Wenye furaha ni ninyi maskini,+ kwa sababu ufalme wa Mungu ni wenu.
5 Anayemdhihaki maskini anamletea shutuma Mtengenezaji+ wake. Anayeshangilia msiba wa mwingine hatakosa adhabu.+
20 Naye akainua macho yake juu ya wanafunzi wake na kuanza kusema:+ “Wenye furaha ni ninyi maskini,+ kwa sababu ufalme wa Mungu ni wenu.