Mambo ya Walawi 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Hii itakuwa sheria ya mwenye ukoma+ katika siku ya kuthibitisha utakaso wake, atakapoletwa kwa kuhani.+ Mambo ya Walawi 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha ataitapanya+ mara saba+ juu ya yule anayejitakasa kutokana na ukoma naye atamtangaza kuwa safi,+ naye atamwachilia ndege aliye hai aruke kwenda zake porini.+
2 “Hii itakuwa sheria ya mwenye ukoma+ katika siku ya kuthibitisha utakaso wake, atakapoletwa kwa kuhani.+
7 Kisha ataitapanya+ mara saba+ juu ya yule anayejitakasa kutokana na ukoma naye atamtangaza kuwa safi,+ naye atamwachilia ndege aliye hai aruke kwenda zake porini.+