Mambo ya Walawi 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye kuhani atatoka nje ya kambi, na kuhani atatazama; na ikiwa pigo la ukoma limepona+ katika yule mwenye ukoma, Ezekieli 44:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “ ‘Nao watawafundisha watu wangu tofauti kati ya kitu kitakatifu na kitu najisi; nao watawajulisha watu tofauti kati ya kitu ambacho si safi na kitu safi.+
3 Naye kuhani atatoka nje ya kambi, na kuhani atatazama; na ikiwa pigo la ukoma limepona+ katika yule mwenye ukoma,
23 “ ‘Nao watawafundisha watu wangu tofauti kati ya kitu kitakatifu na kitu najisi; nao watawajulisha watu tofauti kati ya kitu ambacho si safi na kitu safi.+