Mambo ya Walawi 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye kuhani atatoka nje ya kambi, na kuhani atatazama; na ikiwa pigo la ukoma limepona+ katika yule mwenye ukoma, Kumbukumbu la Torati 32:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+Na hakuna miungu pamoja nami.+Mimi huua, nami hufanya hai.+Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+
3 Naye kuhani atatoka nje ya kambi, na kuhani atatazama; na ikiwa pigo la ukoma limepona+ katika yule mwenye ukoma,
39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+Na hakuna miungu pamoja nami.+Mimi huua, nami hufanya hai.+Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+