14 “‘Hata hivyo, ikiwa toleo lake la kuteketezwa kwa Yehova ni toleo linalotoka kati ya ndege, basi atatoa toleo lake kutoka kati ya njiwa-tetere+ au hua wachanga.+
22 na njiwa-tetere+ wawili au hua wawili wachanga, kulingana na mapato yake, na mmoja atakuwa toleo la dhambi na yule mwingine atakuwa toleo la kuteketezwa.