Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Hata hivyo, ikiwa toleo lake la kuteketezwa kwa Yehova ni toleo linalotoka kati ya ndege, basi atatoa toleo lake kutoka kati ya njiwa-tetere+ au hua wachanga.+

  • Mambo ya Walawi 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 na njiwa-tetere+ wawili au hua wawili wachanga, kulingana na mapato yake, na mmoja atakuwa toleo la dhambi na yule mwingine atakuwa toleo la kuteketezwa.

  • Hesabu 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na katika siku ya nane atamletea kuhani njiwa-tetere wawili au hua wawili wachanga kwenye mwingilio wa hema la mkutano.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki